KANUNI NA MUONGOZO Topten TV inafuata misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo: 1. Kuripoti habari za ukweli 2. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu 3. Kufuata misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote 4. Kujiepusha na udini, ukabila au mambo yoyote yanayoweza kusababisha uchochezi , uvunjifu wowote wa amani, kuhatarisha usalama watu. Muongozo kwa wafuatiliaji (subscribers) wetu 1. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake 2. Topten Tv ina uhuru wa kufuta maoni yasiyo na maadili au yenye matusi au maneno makali 3. Topten Tv ina uhuru wa kupitia maoni kabla hayajaonekana na watu wote 4. Topten Tv ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni5.Maoni au matamshi ya mfuatiliaji wetu (Subscriber) sio msimamo wetu kama chombo cha Habari. Hivo Topten Tv haitowajibika kutokana na Maoni ya Wafuatiliaji wetu.
Vous devriez recevoir un email d'activation de StatsVideo dans les 3-5 prochaines minutes.
Vous devez cliquer sur un lien dans l'e-mail pour démarrer votre abonnement gratuit.
Vous n'avez pas reçu de courrier électronique? Vérifiez votre dossier "courrier indésirable.