Kilimo TV ni chombo cha Mawasiliano baina ya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika, lengo kuu ni kuelimisha, kuburudisha na kurekebisha jamaii na wadau wa kilimo kwa ujumla.Chombo hiki kinaonesha zaidi mafanikio ya sekta, Usalama wa Chakula, Usalama wa lishe na vote vinavyohusiana na sekta hii