Dina Marios ni mtangazaji wa radio wa kipindi cha Uhondo cha E fm radio.Balozi wa Oxfam ,muanzilishi wa kitchen party gala, mwenye tuzo ya mwanamke wa mwaka Tanzania ya mwaka 2013-2014utapata mambo yote ya kiburudani hasa kipindi cha uhondo na inspiration talks za kimaisha.
Anda akan menerima email aktivasi dari StatsVideo dalam 3-5 menit dari sekarang.
Anda harus mengklik link pada email tersebut untuk memulai langganan gratis Anda.
Anda tidak menerima email? Periksa folder SPAM Anda.